Tuesday, November 28, 2017

UPIGAJI CHAPA MIFUGO WAENDELEA KUSHIKA KASI MANISPAA YA DODOMA


Ofisa mifugo wa Kata ya Chahanga katika Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma William Gervas akimpiga chapa Ng'ombe wakati wa zoezi la upigaji chapa mifugo linaloendelea katika Halmashauri hiyo.




                                                 

No comments:

Post a Comment