Monday, September 25, 2017

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA SEMINA YA SIKU MOJA YA WENYEVITI NA WATENDAJI WA MITAA MANISPAA YA DODOMA SEPTEMBA 16, 2017 KATIKA UKUMBI WA ST GASPER MJINI DODOMA

Baadhi ya Wakuu wa Idara na wajumbe wengine wakifuatilia ufunguzi wa Semina hiyo.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma Godwin Kunambi akizungumza wakati wa ufunguzi wa Semina hiyo.
Baadhi ya Wenyeviti na Watendaji wakifuatilia Semina. 
Afisa kutoka Idara ya Utumishi na Utawala Agatha Kalesu akitoa mada kuhusu majukumu ya Wenyeviti wa Mitaa.

Mkuu wa Idara ya Ardhi na Mipango Miji Joachim Henjewele akitoa mada.

Mchumi wa Manispaa Shaaban Juma akitoa mada.

Mganga Mkuu wa Manispaa Thom Mtoi akitoa mada.
Mmoja ya wajumbe akichangia mada.

Mmoja ya Wajumbe akitoa mchango wake.

No comments:

Post a Comment