Monday, September 18, 2017

WENYEVITI NA WATENDAJI WA MITAA NA VIJIJI MANISPAA YA DODOMA WAPIGWA MSASA


Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Godwin Kunambi (aliyesimama kulia) akizungumza wakati alipoongoza semina elekezi ya siku moja kwa Wenyeviti na Watendaji wa Mitaa na Vijiji wa Manispaa ya Dodoma Septemba 16 mwaka huu katika Ukumbi wa St. Gasper mjini Dodoma. PICHA NA OFISI YA MKURUGENZI 



No comments:

Post a Comment