Tuesday, December 12, 2017

MANISPAA YA DODOMA YATEKELEZA AGIZO LA SERIKALI KUANGAMIZA MAZALIA YA MBU WAENEZAO MALARIA


Kikosi kazi kinachofanya zoezi la kupulizia dawa ya kuua vimelea vya mazalia ya Mbu waenezao ugonjwa wa Malaria katika Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kikiendelea na kazi hiyo katika maeneo mbalimbali baada ya kuanza kwa zoezi hilo hilo jana.

Kikosi kazi kinachofanya zoezi la kupulizia dawa ya kuua vimelea vya mazalia ya Mbu waenezao ugonjwa wa Malaria katika Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kikiendelea na kazi hiyo katika maeneo mbalimbali baada ya kuanza kwa zoezi hilo hilo jana.

Kikosi kazi kinachofanya zoezi la kupulizia dawa ya kuua vimelea vya mazalia ya Mbu waenezao ugonjwa wa Malaria katika Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kikiendelea na kazi hiyo katika maeneo mbalimbali baada ya kuanza kwa zoezi hilo hilo jana.

Kikosi kazi kinachofanya zoezi la kupulizia dawa ya kuua vimelea vya mazalia ya Mbu waenezao ugonjwa wa Malaria katika Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kikiendelea na kazi hiyo katika maeneo mbalimbali baada ya kuanza kwa zoezi hilo hilo jana.


No comments:

Post a Comment