| Baadhi ya Wakuu wa Idara na wajumbe wengine wakifuatilia ufunguzi wa Semina hiyo. |
| Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma Godwin Kunambi akizungumza wakati wa ufunguzi wa Semina hiyo. |
| Baadhi ya Wenyeviti na Watendaji wakifuatilia Semina. |
| Afisa kutoka Idara ya Utumishi na Utawala Agatha Kalesu akitoa mada kuhusu majukumu ya Wenyeviti wa Mitaa. |
| Mkuu wa Idara ya Ardhi na Mipango Miji Joachim Henjewele akitoa mada. |
| Mchumi wa Manispaa Shaaban Juma akitoa mada. |
| Mganga Mkuu wa Manispaa Thom Mtoi akitoa mada. |
| Mmoja ya wajumbe akichangia mada. |
| Mmoja ya Wajumbe akitoa mchango wake. |
No comments:
Post a Comment